Friday, August 15, 2014

Ugonjwa wa Ebola Wahofiwa kufika Nchi

Ugonjwa Hatari wa Ebola umeingia nchini kufuatia watu wawili wanaodhaniwa kuwa na maambukizi yake kuwasili nchini.
Wagonjwa hao wamepelekwa katika kituo maalumu kwa ajili ya wagonjwa wa ugonjwa huo kilichopo Temeke jiji Dar es salaam.

Watu hao wawili walipatikana katika uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere Baada ya Kuwasili kutoka sehemu tofauti , mmoja ni raia wa Benin na Mwingine ni Mtanzania.

No comments:

Post a Comment