Friday, August 1, 2014

Mtuhumiwa wa Mauaji ya Ayub Mlai Kwa Bastola Ambrosia Club Aonja Joto la Jiwe Leo Mahakani Kisutu



Mtuhumiwa  wa kesi ya Mauaji, Conrad Leo (33) akiwa chini ya ulinzi wa polisi mara baada ya kuachiwa na kukamatwa tena katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana.Mtuhumiwa huyo anashitakiwa kwa kosa la kumuua kwa kutumia silaha Ayubu Mlai.

No comments:

Post a Comment