 |
Mh.Leticia Nyerere na Steven Ngonyani wakitoka kusini |
|
Wabunge wa umoja wa kundi la UKAWA waliosusia bunge maalum wameanza kulejea bungeni baada ya mbuge wa viti maalum Mh.Leticia Nyerere kuonekana bungeni Dodoma akisaini fomu ya mahudhulio. na mbunge mwingine aliye onekana katika maeneo hayo ni Mh.Shibuda
No comments:
Post a Comment