Jeshi la Rwanda likiwa kwenye moja ya onyesho lake |
hata hivyo kisa hicho kilikanushwa kupitia mtandao wa Twitter na naibu mwakilishi wa Rwanda katika Umoja wa Mataifa, aliyesema kuwa madai hayo ni upuzi mtupu.
Rwanda imekosoa Serikali ya DRC na Ubalozi wa Umoja wa Mataifa nchini kwa kukosa kushughulikia kikamilfu maswala yanayohusu kundi la waasi la Democratic Forces for the Liberation of Rwanda, kundi la waasi kutoka Kabila la Wahutu ambalo limekuwa Congo kwa zaidi ya miaka 20.
Mara kadhaa siku zilizopita Rwanda imewahi kuyatuma majeshi yake kukabiliana na waasi nchini DRC.
No comments:
Post a Comment