Kutokana na mauajia Kenya imesema inahitaji msaada Nchi washirika wa Ulaya ili kuzuia mauaji ya halaiki nchini humo yanayofanywa na wapiganaji wa kikundi cha al-Shabaab.
hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Kenya Bi AMINA MOHAMED amesema nchi yake ilikuwa inahitaji msaada wa hatua za kiintel ejinsea na usalama kutoka kwa washirika wake.
hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Kenya Bi AMINA MOHAMED amesema nchi yake ilikuwa inahitaji msaada wa hatua za kiintel ejinsea na usalama kutoka kwa washirika wake.
Waziri wa mambo ya nje nchi Kenya Bi Amina Mohamed |
No comments:
Post a Comment