Saturday, April 4, 2015

Mauaji Garissa:Simanzi yatanda Nairobi

Mjini Nairobi, biwi la simanzi lilitanda pale jamaa na marafiki wa wanafunzi waliouawa walipofika katika chumba cha kuhifadhia maiti kuwatambua wapendwa wao

Picha ya setlaiti ikionyesha ramani chuo cha Garissa

No comments:

Post a Comment