Wednesday, April 8, 2015

Balozi Seif: Vijana someni.

Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif Ali Idd, amewataka vijana kusoma na kubadilika ili waweze kukabiliana na changamoto za ukosefu wa ajira kwa kuonyesha ubunifu wa akili na uwezo walionao.
Kauli hiyo imetolewa kwa niaba yake na mkuu wa mkoa kuskazinipemba Bw.Omar Khamis Othuman mara baada ya kukagua mabanda ya maonyesho ya kazi mbali mbali za vijana zikiwemo za ubunifu huko wesha katika wilaya chake chake.
Makamu wa Rais wa pili zanzibar Mh.Balozi Seif Ali Idd

No comments:

Post a Comment