.jpg) |
Wafuasi wa chadema wakiwa kwenye mandamano |
Mpango wa chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),Kutaka kuandamana Mikoa mitatu Ukiwemo ngome yao ya mkoa wa Arusha imeshindikana baada ya Polisi kuwanyima Vibali vya mandamano hayo Mikoa yote ya Morogoro na Iringa na polisi kutanda sehem muhimu ili kuwa dhibiti
.jpg) |
Askari polisi wakiwa kazini mkoani Arusha jana |
No comments:
Post a Comment