Sunday, September 21, 2014

Jaja mwisho Mikese Moro


Mshambuliaji Wa Yanga Jaja
Kweli Jaja mwisho Mikese’! Mtibwa Sugar wamethibitisha kuwa makali ya mshambuliaji wa Yanga, Genlison Santos ‘Jaja’ mwisho Msamvu baada ya jana kuibuka na ushindi mabao 2-0 kwenye Uwanja wa Jamhuri Morogoro.
Mchezaji Wa Coutinho
Ndanda FC iliyopanda daraja msimu huu inashikilia usukani wa ligi baada ya kuichapa Stand United 4-1, huku mabingwa watetezi Azam wakiibamiza Polisi Morogoro mabao 3-1.
Wakati Yanga wakichezea kichapo Morogoro watani zao Simba leo watakuwa Uwanja wa Taifa kuikabili Coastal Union.

No comments:

Post a Comment