Tuesday, January 6, 2015

UAPISHAJI WA WENYEVITI SERIKALI ZA MITAA DAR VURUGU TUPU

Askari polisi wakijitawanya ili kudhibiti vurungu zilizo tokea wakati wa kuapishwa kwa viongozi wa mitaa
Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kufyatua risasi hewani na kufyatua mabomu ya machozi kufuatia kuibuka kwa vurugu katika hoteli ya Land Mark ambapo shughuli ya uapishaji wa wenyeviti wa serikali Mitaa zinafanyika.
Vurugu hizo, zimeibuliwa na kambi ya upinzani ambayo imelalamikia kuwa Mwenyekiti mmoja wa Chama tawala CCM aliyeapishwa hakuwa ameshinda katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, uliofanyika mwaka jana

No comments:

Post a Comment