Thursday, January 8, 2015

KENGE WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WAKITOROSHWA KWENDA NJE YA NCHI


Kamanda wa Polisi wa JNIA, Khamis Suleiman ametaarifu kuwa Jeshi la Polisi linamshikilia raia wa Kuwait, Hussain Ahmed Ally Mansour (34) baada ya na viumbe hai aina ya Kenge 149 akiwa tayari kuwasafirisha kuelekea nchini Kuwait kupitia Dubai na Shirika la Ndege la Emirates.
Kamanda Selemani alisema Mansour alikamatwa na kenge hao akiwa amewaweka kwenye mifuko midogo midogo ilivyowekwa katika begi kubwa lenye rangi nyeusi.

No comments:

Post a Comment