Thursday, October 23, 2014

YP ahagwa rasmi

Times Fm TZ's photo.
Aliyekuwa staa wa muziki kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Yessaya Ambilikile Mwakalekamo aka YP ameagwa jana katika viwanja vya TCC Chan’gombe na kuzikwa makaburi ya Chang’ombe Dar es Salaam
Hizi ni picha mbalimbali wakiwemo na mastaa wa Bongo Fleva na Bongo Movie

No comments:

Post a Comment