Thursday, October 23, 2014

BASATA KUMVUA TAJI MISS TZ 2014, SITTI MTEMVU

Sitti Mtemvu
Sakata la Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kudaiwa kudanganya umri, limeingia katika sura mpya baada ya Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) kueleza kuwa linasubiri uchunguzi ukamilike na litamvua taji hilo endapo itabainika kweli alichakachua umri wake.
Kwa kumuangalia mrembo huyu, unahisi kweli atakuwa kadanganya umri wake?
BASATA KUMVUA TAJI MISS TZ 2014, SITTI MTEMVU

Sakata la Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kudaiwa kudanganya umri, limeingia katika sura mpya baada ya Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) kueleza kuwa linasubiri uchunguzi ukamilike na litamvua taji hilo endapo itabainika kweli alichakachua umri wake.

Kwa kumuangalia mrembo huyu, unahisi kweli atakuwa kadanganya umri wake?
Miss Tanzania Sitti Mtemvu

No comments:

Post a Comment