Friday, May 8, 2015

Miili ya wanajeshi liouwawaDRC yaludishwa nchini


Jeshi la umoja wa mataifa linalolianda amani kaskazini mashariki mwa nchi ya kongo DRC wameanza harakati za kusafirisha miili ya askari wawili wa kitanzania kuja kuzikwa nyumbani baada ya kuuwawa katika shambulio la kigaidi huko beni.


No comments:

Post a Comment