Wednesday, September 30, 2015

Dawa za kupunguza makali ya UKIMWI kuwa ghali zaidi Duniani

Dawa za kupunguza makali ya UKIMWI
Shirika la Afya duniani WHO limetoa muongozo mpya kuhusiana na matibabu ya watu walioambukizwa virusi vinavyosababisha UKIMWI.
Awali ilibidi walioambukizwa wasubiri hadi waanze kuwa wagonjwa kabisa kabla ya kuanza kutumia tembe za kupunguza makali ya ukimwi.
Hoja kuu ni kuwa bei ya dawa imeongezeka maradufu.
Je mataifa maskini ya Afrika yatamudu ongezeko la idadi ya watu ambao wanahitaji ya dawa za kupunguza makali ya Ukimwi ?